Become A Donor

Become A Donor
Lorem Ipsum is simply dummy text of the printing and typesetting industry.

Contact Info

684 West College St. Sun City, United States America, 064781.

(+55) 654 - 545 - 1235

info@zegen.com

Latest Posts

Announcements-Dec 28, 2024

  1. Karibuni nyote wageni kwa wenyeji katika Sabato ya leo, Jisikieni amani kuwemo
    Nyumbani mwa Bwana, leo pia kama ilivyo ada tutapata chakula cha pamoja
    kilichoandaliwa na Kanisa Hivyo basi tusalie kanisani baada ya ibada. Wakati wa
    mchana pia program zitaendelea kama zilivyoainishwa kwenye ratiba, hivyo
    tunakaribishwa sana
  2. Uongozi wa kanisa unaendelea kuwaomba washiriki wote wa DCC kuendelea
    kuchangia gharama za awali za uendeshaji wa eneo la Ibada wakati huu ambapo bado
    mchakato wamgawanyowamaliukiwaunaendelea.
  3. Ofisi ya Katibu inaendelea kuwakumbusha wale wote ambao bado hawajawasilisha
    majina yao kwa ajili ya ushirkia waonane na Katibu wa Kanisa kwa ajili ya ufanisi wa
    jambo hilo
  4. Kesho Jumapili ya Tar 29/12/2024, itakuwa ni siku Maalumu ya kufunga na kuomba
    hivyo washiriki wote tunaombwa kuhudhuria
  5. Sabato ijayo tar 04/01/2025 itakuwa ni sabato yenye ibada maalumu ya kufungua
    Mwaka, Sabato hii itaendana na Huduma ya Ubatizo kwa watu wanaohitaji huduma
    hiyo pamoja nakuweka wakfu watendakazi ambaotutawapitisha leo.
  6. Semina za uwakili zitakazokuwa zikiendeshwa na Union (STUM) zitaanza tar 18
    20/01/2025. Seminar hizi zitafanyika katika Kanisa la la Waadventista Wasabato
    Magomeni kuanzia saa 2:00 hadi saa 12:00 jioni. Wahusika katika semina hizi ni
    washiriki wa makanisa ya Dar es Salaam, Kwaya za Dar es Salaam, wachungaji wote, na
    wajumbe wa uwakili kutoka katika makanisa mahalia. Kwa watakaohudhuria
    tunaomba wawasilishe majina yao leo kwa ofisi ya Katibu wa Kanisa kwa ajili ya
    uratibu
  7. Wahudumuwawiki
    Mzee wa Zamu:DrTaphinezMachibya+255(0)785406637
    Muhudumu wa Watoto:ZechariaEmmanuelChomo
    Mashemasi wa Zamu:Ofisi yaMashemasi
    Jumatano ya Maombi:
    Muhudumu:CasmirCosmas
    Kufungua Sabato:
    Muhudumu:ElderGeoffreySaid
    Wahudumu Sabato ijayo tar 04/12/2024: Ofisi ya Wazee/ Program Coordinators
    Nyimbo: Program Coordinators
  8. Kusoma majina ya watenda Kazi kwa Nafasi zilizokuwa wazi, kwa ajili ya kuwapitisha

MATANGAZO DCC 28.12.2024